Subscribe Us

DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA KATA YA MASUMBWE MBOGWE GEITA


Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa kata ya Masumbwe, katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, Mbogwe mkoani Geita tarehe 12 Oktoba, 2025.

Taswira ya mkutano huo.
Wagombea wakitambulishwa.
Mkutano ukiendelea.
Jesca Magufuli akizungumza
Kada wa CCM Aggrey Mwanri akizungumza kwenye mkutano huo.
Sera zikinadiwa 
Mgombea Urais CCM Dkt. Samia akiteta jambo na mgombea ubunge wa Jimbo la Bukombe, Doto Biteko.

Wagombea wakionesha ilani ya uchaguzi
 

Post a Comment

0 Comments