Subscribe Us

MGOMBEA URAIS CCM DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MSATA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Msata katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Pwani tarehe 28 Septemba, 2025.

Sehemu ya wananchi wa Msata mkoani Pwani waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) tarehe 28 Septemba

Shamra shamra za wananchi wa Msata mkoani Pwani katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) tarehe 28 Septemba, 2025. 

Shamra shamra za wananchi wa Msata mkoani Pwani katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) tarehe 28 Septemba, 2025. 


Shamra shamra za wananchi wa Msata mkoani Pwani katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) tarehe 28 Septemba, 2025.

Shamra shamra za wananchi wa Msata mkoani Pwani katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) tarehe 28 Septemba, 2025. 

Post a Comment

0 Comments