Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu
Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Manyara kwenye
mkutano wa hadhara uliofanyika Babati mjini katika muendelezo wa Kampeni za
Uchaguzi kwa CCM mkoani humo tarehe 04 Oktoba, 2025.
Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Babati mjini mkoani Manyara tarehe 04 Oktoba, 2025.
Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara
wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Babati mjini
mkoani Manyara tarehe 04 Oktoba, 2025.
Sehemu ya wananchi wa Babati na maeneo jirani
waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi
(CCM) mkoani Manyara tarehe 04 Oktoba, 2025.
Sehemu ya wananchi wa Babati na maeneo jirani waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Manyara tarehe 04 Oktoba, 2025.
Shamra shamra ikiendelea.
Shamra shamra za wananchi wa Babati na maeneo
jirani waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) mkoani Manyara tarehe 04 Oktoba, 2025.
Mkutano huo ukiendelea
Shamra shamra za wananchi wa Babati na maeneo jirani waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Manyara tarehe 04 Oktoba, 2025.
0 Comments