Subscribe Us

MBUNGE DANIEL SILLO AONGOZA HARAMBEE UJENZI OFISI YA KANISA KKKT MANDI, ZAIDI YA MILIONI 5 ZAPATIKANA.

Katibu wa  wa Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini, Daniel Sillo na Naibu Spika wa Bunge,  Waziri Juma (katikati), akiwa na Viongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) la Mtaa wa Mandi baada ya kushiriki Harambee iliyofanyika Aprili 2, 2026.

......................................

Na Mwandishi Wetu, Manyara 

Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge, Daniel Sillo, ameongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa ofisi ya Kanisa la KKKT katika mtaa wa Mandi, ambapo jumla ya Shilingi milioni 5.7 imepatikana.

Katika tukio hilo lililofanyika leo Aprili 2, 2026, Daniel Sillo aliwakilishwa na Katibu wake wa Jimbo, Waziri Juma.

Post a Comment

0 Comments