Subscribe Us

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐆𝐄𝐔𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐇𝐔𝐒𝐈𝐀𝐍𝐎 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐘𝐀𝐋𝐈𝐘𝐎𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐘𝐀𝐊𝐈𝐕𝐔𝐍𝐉𝐈𝐊𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐔𝐅𝐀𝐇𝐀𝐌𝐔 𝐌𝐏𝐘𝐀 𝐖𝐀 𝐔𝐏𝐄𝐍𝐃𝐎 𝐖𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐋𝐈

Kwa muda mrefu nilikuwa naingia kwenye mahusiano yaliyoanza vizuri lakini yakavunjika ghafla. Kila mara ilikuwa ni hadithi ile ile mwanzo mzuri, matumaini makubwa, halafu mwisho usioeleweka. Nilijikuta nikibaki na maumivu na maswali mengi yasiyo na majibu.

Nilianza kujiuliza kama tatizo lilikuwa kwangu.

Nilijaribu kubadilika, kuwa mvumilivu zaidi, na kujitahidi kuelewa wenzi wangu. Lakini licha ya jitihada hizo zote, matokeo hayakubadilika. Ilikuwa kama mzunguko unaojirudia bila mwisho. Kadri muda ulivyopita, nilianza kupoteza imani na mahusiano kabisa.

ENDELEA KUSOMA

Post a Comment

0 Comments