Subscribe Us

NILIVYOPATA UPENDO WA KWELI BAADA YA KUTUMIWA NA KUUMIZWA

Mimi nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalinivunja moyo vibaya sana. Nilimpenda mtu kwa dhati, nikajitoa kwa kila hali, lakini mwisho wake niligundua nilikuwa natumiwa tu. Alikuwa ananihitaji pale tu alipokuwa na shida.

Nilipokuwa nikihitaji upendo au msaada, hakuwa karibu.
 Hilo liliniumiza sana, lakini nilivumilia kwa sababu nilikuwa na matumaini mambo yangebadiika.

Baada ya muda, ukweli ulijitokeza wazi. Nilijikuta nimeachwa na maumivu makubwa ya moyo.

Ilikuwa ngumu sana kuamini tena au hata kufikiria kuanza upya. Nilikaa kwa muda mrefu nikiwa peke yangu. Nilikuwa na hofu ya kuingia kwenye mahusiano mengine. Nilihisi kama kila mtu angeweza kuniumiza tena. 

Siku moja nilimweleza rafiki yangu wa karibu hali yangu.

SOMA   ZAIDI

Post a Comment

0 Comments