Kwa muda mrefu nilihisi kama mapenzi hayakuwa upande wangu. Kila nilipoingia kwenye uhusiano, mambo yalikuwa yanaanza vizuri lakini mwisho wake ulikuwa ule ule kuachwa bila maelezo ya kueleweka. Iliniumiza sana, hasa nilipoanza kuona kama kuna kitu hakiko sawa kwangu.
Nilijaribu kubadilika. Nilijifunza kuwa mvumilivu zaidi, kuelewa zaidi, na kutoa nafasi kwa mwenza wangu. Lakini bado haikubadilisha matokeo. Nilipoanza kuzoea kuachwa, nilianza kupoteza imani kabisa na mahusiano. Kadri muda ulivyopita, nilichoka kujaribu.




0 Comments