Subscribe Us

𝐌𝐀𝐊𝐀𝐌𝐔 𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐂𝐇𝐀𝐓𝐎 𝐊𝐔𝐀𝐆𝐀 𝐌𝐖𝐈𝐋𝐈 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐘𝐀𝐓𝐈 𝐃𝐊𝐓. 𝐌𝐀𝐆𝐔𝐅𝐔𝐋𝐈

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili katika Viwanja vya Kilimani Wilayani Chato Mkoani Geita, ambapo anaungana na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumuaga na kumuombea Marehemu Bi. Suzana Ngolo Magufuli ambaye ni Mama wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, inayofanyika leo tarehe 29 Mei 2026.

Post a Comment

0 Comments